NAIBU WAZIRI MKUU AWASILI LONGIDO

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko akipokewa na Kiongozi wa wanafunzi kidato cha kwanza (1), Lucy Lengishoni mara baada ya kuwasili katika Shule ya Sekondari ya Wasichana ya Longido Samia.

Ziara hiyo ni sehemu ya shamrashamra za kuadhimisha miaka 61 ya Muungano wa Tanzania Aprili 24, 2025 Mkoani Arusha. @biteko @onwm_tanzania



 

Comments

Popular posts from this blog

HIFADHI YA NGORONGORO YASHIRIKISHA WATALII UZINDUZI WA WIKI YA HUDUMA KWA WATEJA.

NMB Same Yachochea Ari ya Mafanikio kwa Wanafunzi, Yasema “Bidii, Nidhamu na Malengo” Ndio Siri ya Ushindi

ANNE KILANGO AZINDUA KAMPENI SAME MASHARIKI KWA KISHINDO