NAIBU WAZIRI MKUU AWASILI LONGIDO

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko akipokewa na Kiongozi wa wanafunzi kidato cha kwanza (1), Lucy Lengishoni mara baada ya kuwasili katika Shule ya Sekondari ya Wasichana ya Longido Samia.

Ziara hiyo ni sehemu ya shamrashamra za kuadhimisha miaka 61 ya Muungano wa Tanzania Aprili 24, 2025 Mkoani Arusha. @biteko @onwm_tanzania



 

Comments

Popular posts from this blog

HATMA YA TAIFA IPO KATIKA USAWA WA KIJINSIA, SIO VIWANDA PEKEE.

MSAKO MKALI KUREJESHA HALI ya USALAMA TANGA, WATUHUMIWA 42 WAKAMATWA

PJT-MMMAM YAWEZESHA UANZISHWAJI WA VITUO 206 VYA MALEZI YA WATOTO WADOGO