TUMEKUJA KUSIKILIZA ILANI YA CHAMA CHA MAPINDUZI HAPA BUKOMBE - GEITA


Makundi mbalimbali ya Wananchi wakiwa tayari kusikiliza Ilani ya Chama cha Mapinduzi (CCM) 2025-2030  kupitia Wagombea Ubunge na Udiwani Mkoa wa Geita ikiwa leo ni siku ya uzinduzi wa Kampeni za CCM mkoani Geita  kuelekea Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025.

#ChaguaCCM

#OktobaTunatiki

#MchagueSamia

#MchagueBiteko

#KusemaNaKutenda

#KaziNaUtuTunasongaMbele




 

Comments

Popular posts from this blog

HIFADHI YA NGORONGORO YASHIRIKISHA WATALII UZINDUZI WA WIKI YA HUDUMA KWA WATEJA.

NMB Same Yachochea Ari ya Mafanikio kwa Wanafunzi, Yasema “Bidii, Nidhamu na Malengo” Ndio Siri ya Ushindi

ANNE KILANGO AZINDUA KAMPENI SAME MASHARIKI KWA KISHINDO