BUKOMBE TUNA JAMBO LETU


Ni uzinduzi wa kampeni za Uchaguzi Mkuu 2025 Mkoa wa Geita utakaofanyika katika Uwanja wa Mwenge - Kata ya Uyovu- Siku ya Jumanne, Tarehe 2 Septemba 2025.

Shime watu wema wa Bukombe tujitokeze kwa wingi kusikiliza sera za Dkt. Doto Mashaka Biteko na wagombea wengine wote wa CCM 2025-2030.

#ChaguaCCM

#OktobaTunatiki

#MchagueSamia

#MchagueBiteko

#KusemaNaKutenda

#KaziNaUtuTunasongaMbele

Comments

Popular posts from this blog

HATMA YA TAIFA IPO KATIKA USAWA WA KIJINSIA, SIO VIWANDA PEKEE.

MSAKO MKALI KUREJESHA HALI ya USALAMA TANGA, WATUHUMIWA 42 WAKAMATWA

PJT-MMMAM YAWEZESHA UANZISHWAJI WA VITUO 206 VYA MALEZI YA WATOTO WADOGO