BUKOMBE TUNA JAMBO LETU


Ni uzinduzi wa kampeni za Uchaguzi Mkuu 2025 Mkoa wa Geita utakaofanyika katika Uwanja wa Mwenge - Kata ya Uyovu- Siku ya Jumanne, Tarehe 2 Septemba 2025.

Shime watu wema wa Bukombe tujitokeze kwa wingi kusikiliza sera za Dkt. Doto Mashaka Biteko na wagombea wengine wote wa CCM 2025-2030.

#ChaguaCCM

#OktobaTunatiki

#MchagueSamia

#MchagueBiteko

#KusemaNaKutenda

#KaziNaUtuTunasongaMbele

Comments

Popular posts from this blog

HIFADHI YA NGORONGORO YASHIRIKISHA WATALII UZINDUZI WA WIKI YA HUDUMA KWA WATEJA.

NMB Same Yachochea Ari ya Mafanikio kwa Wanafunzi, Yasema “Bidii, Nidhamu na Malengo” Ndio Siri ya Ushindi

ANNE KILANGO AZINDUA KAMPENI SAME MASHARIKI KWA KISHINDO