BITEKO AWASHUKURU WANABUKOMBE KWA KUMPA NAFASI YA KULITUMIKIA JIMBO LA BUKOMBE


 Nawashukuru Wanabukombe wote kwa kunipa nafasi ya kulitumikia Jimbo letu katika kipindi cha mwaka 2020-2025

Tumefanya maendeleo mengi chini ya uongozi wa Dkt. Samia Suluhu Hassan  

Naomba kura yako niendelee kutumikia Jimbo la Bukombe 2025 - 2030 kwa Maendeleo yetu #OktobaTunatiki

#ChaguaCCM 

#MchagueSamia

#MchagueBiteko

#KusemaNaKutenda

#KaziNaUtuTunasongaMbele

Comments

Popular posts from this blog

HIFADHI YA NGORONGORO YASHIRIKISHA WATALII UZINDUZI WA WIKI YA HUDUMA KWA WATEJA.

NMB Same Yachochea Ari ya Mafanikio kwa Wanafunzi, Yasema “Bidii, Nidhamu na Malengo” Ndio Siri ya Ushindi

ANNE KILANGO AZINDUA KAMPENI SAME MASHARIKI KWA KISHINDO