HERI YA SIKU YA WAALIMU BUKOMBE



Leo kutoka hapa Bukombe yanafanyika maadhimisho ya siku ya mwalimu duniani kwa wilaya ya Bukombe ikiwa ni msimu wa sita toka kuanzishwa kwa maadhimisho haya hapa Bukombe.

Mgombea ubunge wa Jimbo la Bukombe na Naibu Waziri Mkuu Dkt. Dotto Biteko atakuwepo na mgeni rasmi ni Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa Kassim.

#Bukombe

#kusemanakutenda

SikuyaMwalimuDuniani

#sikuyamwalimubukombe2025




Comments

Popular posts from this blog

HATMA YA TAIFA IPO KATIKA USAWA WA KIJINSIA, SIO VIWANDA PEKEE.

MSAKO MKALI KUREJESHA HALI ya USALAMA TANGA, WATUHUMIWA 42 WAKAMATWA

PJT-MMMAM YAWEZESHA UANZISHWAJI WA VITUO 206 VYA MALEZI YA WATOTO WADOGO