TANZANIA NA URUSI ZAJADILI USHIRIKIANO WA KIMKAKATI


Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Ulaya na Amerika katika Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Bi. Ellen Maduhu, amefanya mazungumzo na Balozi wa Jamhuri ya Urusi nchini, Mhe. Andrey Avetisyan, katika Ofisi Ndogo za Wizara jijini Dar es Salaam tarehe 22 Mei 2026.

Mazungumzo hayo yamelenga kuimarisha ushirikiano wa kimkakati kati ya Tanzania na Urusi katika sekta mbalimbali, ikiwemo elimu, biashara, afya na uwekezaji, kwa lengo la kupanua fursa za maendeleo pamoja na kuendeleza uhusiano wa kidiplomasia na kiuchumi kwa manufaa ya mataifa yote mawili.



 

Comments

Popular posts from this blog

HIFADHI YA NGORONGORO YASHIRIKISHA WATALII UZINDUZI WA WIKI YA HUDUMA KWA WATEJA.

NMB Same Yachochea Ari ya Mafanikio kwa Wanafunzi, Yasema “Bidii, Nidhamu na Malengo” Ndio Siri ya Ushindi

ANNE KILANGO AZINDUA KAMPENI SAME MASHARIKI KWA KISHINDO