TANZANIA NA SLOVAKIA KUIMARISHA USHIRIKIANO WA KIUCHUMI NA KIDIPLOMASIA



Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba, Aprili 13, 2026, amefanya mazungumzo na Balozi wa Slovakia nchini, Mhe. Ivan Lančarič, katika ofisi yake iliyopo Bungeni jijini Dodoma.

Mazungumzo hayo yamelenga kuimarisha uhusiano wa kidiplomasia na kiuchumi, pamoja na kupanua wigo wa ushirikiano kati ya Tanzania na Slovakia katika nyanja mbalimbali za maendeleo.

Katika mazungumzo hayo, pande zote mbili zimekubaliana kuendeleza na kuimarisha ushirikiano katika sekta za uchumi, elimu, teknolojia, nishati na uwekezaji.




 

Comments

Popular posts from this blog

HIFADHI YA NGORONGORO YASHIRIKISHA WATALII UZINDUZI WA WIKI YA HUDUMA KWA WATEJA.

NMB Same Yachochea Ari ya Mafanikio kwa Wanafunzi, Yasema “Bidii, Nidhamu na Malengo” Ndio Siri ya Ushindi

ANNE KILANGO AZINDUA KAMPENI SAME MASHARIKI KWA KISHINDO