WAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA AMETEMBELEA UBALOZI WA TANZANIA (UAE)


Waziri Mkuu Kassim Majaliwa leo Julai 25,2025 ametembelea ubalozi wa Tanzania, Muungano wa Falme za Kiarabu (UAE) uliopo Abudhabi.

Alipokelewa na Balozi wa Tanzania UAE  Luteni Jenerali Mstaafu,Yacub Mohmed na watumishi wa ubalozi huo.


 

Comments

Popular posts from this blog

HIFADHI YA NGORONGORO YASHIRIKISHA WATALII UZINDUZI WA WIKI YA HUDUMA KWA WATEJA.

NMB Same Yachochea Ari ya Mafanikio kwa Wanafunzi, Yasema “Bidii, Nidhamu na Malengo” Ndio Siri ya Ushindi

ANNE KILANGO AZINDUA KAMPENI SAME MASHARIKI KWA KISHINDO