WAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA ANAFUNGUA KIKAO KAZI CHA VIONNGOZI WA (TRA)


Waziri Mkuu Kassim Majaliwa leo Julai 08, 2025 anafungua kikao kazi cha Viongozi wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) katika kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Arusha (IACC).

Kikao hicho kinatoa nafasi kwa viongozi na watumishi wa TRA kufanya tathmini ya kazi, kuona wapi imefanya vizuri, wapi kuna mapungufu na kujiwekea mikakati ya kuimarisha utendaji katika mwaka mpya wa fedha.

*Habari kamili inakuja*


 

Comments

Popular posts from this blog

HATMA YA TAIFA IPO KATIKA USAWA WA KIJINSIA, SIO VIWANDA PEKEE.

MSAKO MKALI KUREJESHA HALI ya USALAMA TANGA, WATUHUMIWA 42 WAKAMATWA

PJT-MMMAM YAWEZESHA UANZISHWAJI WA VITUO 206 VYA MALEZI YA WATOTO WADOGO