WAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA ANAFUNGUA KIKAO KAZI CHA VIONNGOZI WA (TRA)


Waziri Mkuu Kassim Majaliwa leo Julai 08, 2025 anafungua kikao kazi cha Viongozi wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) katika kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Arusha (IACC).

Kikao hicho kinatoa nafasi kwa viongozi na watumishi wa TRA kufanya tathmini ya kazi, kuona wapi imefanya vizuri, wapi kuna mapungufu na kujiwekea mikakati ya kuimarisha utendaji katika mwaka mpya wa fedha.

*Habari kamili inakuja*


 

Comments

Popular posts from this blog

HIFADHI YA NGORONGORO YASHIRIKISHA WATALII UZINDUZI WA WIKI YA HUDUMA KWA WATEJA.

NMB Same Yachochea Ari ya Mafanikio kwa Wanafunzi, Yasema “Bidii, Nidhamu na Malengo” Ndio Siri ya Ushindi

ANNE KILANGO AZINDUA KAMPENI SAME MASHARIKI KWA KISHINDO