ATHUMAN KWARIKO AONGOZA KIKAO CHA KAMATI YA UTALII NA HUDUMA ZA SHIRIKA

Kikao cha Kamati ya Utalii na Huduma za Shirika kimeongozwa na Kaimu Mwenyekiti Bw. Athumani Kwariko ambapo masuala ya Utalii na Huduma za shirika yamejadiliwa. Bodi ya Wadhamini ya Shirika la Hifadhi za Taifa Tanzania (TANAPA) inaendelea na kikao chake cha kawaida cha 210 jijini, Mwanza.


 

Comments

Popular posts from this blog

HATMA YA TAIFA IPO KATIKA USAWA WA KIJINSIA, SIO VIWANDA PEKEE.

MSAKO MKALI KUREJESHA HALI ya USALAMA TANGA, WATUHUMIWA 42 WAKAMATWA

PJT-MMMAM YAWEZESHA UANZISHWAJI WA VITUO 206 VYA MALEZI YA WATOTO WADOGO