ATHUMAN KWARIKO AONGOZA KIKAO CHA KAMATI YA UTALII NA HUDUMA ZA SHIRIKA

Kikao cha Kamati ya Utalii na Huduma za Shirika kimeongozwa na Kaimu Mwenyekiti Bw. Athumani Kwariko ambapo masuala ya Utalii na Huduma za shirika yamejadiliwa. Bodi ya Wadhamini ya Shirika la Hifadhi za Taifa Tanzania (TANAPA) inaendelea na kikao chake cha kawaida cha 210 jijini, Mwanza.


 

Comments

Popular posts from this blog

HIFADHI YA NGORONGORO YASHIRIKISHA WATALII UZINDUZI WA WIKI YA HUDUMA KWA WATEJA.

NMB Same Yachochea Ari ya Mafanikio kwa Wanafunzi, Yasema “Bidii, Nidhamu na Malengo” Ndio Siri ya Ushindi

ANNE KILANGO AZINDUA KAMPENI SAME MASHARIKI KWA KISHINDO