CPA (T) HADIJA RAMADHANI AONGOZA KIKAO CHA KAMATI YA UKAGUZI NA UTAWALA BODI YA WADHAMINI TANAPA

Kikao cha Kamati ya Ukaguzi na Utawala cha Bodi ya Wadhamini TANAPA leo Mei 23, 2025 kimeongozwa na Mwenyekiti wake CPA(T), Hadija Ramadhani ambapo masuala mbalimbali ya ukaguzi na utawala yamejadiliwa. Bodi ya Wadhamini ya Shirika la Hifadhi za Taifa Tanzania (TANAPA) inaendelea na kikao chake cha kawaida cha 210 jijini, Mwanza.


 

Comments

Popular posts from this blog

HATMA YA TAIFA IPO KATIKA USAWA WA KIJINSIA, SIO VIWANDA PEKEE.

MSAKO MKALI KUREJESHA HALI ya USALAMA TANGA, WATUHUMIWA 42 WAKAMATWA

PJT-MMMAM YAWEZESHA UANZISHWAJI WA VITUO 206 VYA MALEZI YA WATOTO WADOGO