CPA (T) HADIJA RAMADHANI AONGOZA KIKAO CHA KAMATI YA UKAGUZI NA UTAWALA BODI YA WADHAMINI TANAPA

Kikao cha Kamati ya Ukaguzi na Utawala cha Bodi ya Wadhamini TANAPA leo Mei 23, 2025 kimeongozwa na Mwenyekiti wake CPA(T), Hadija Ramadhani ambapo masuala mbalimbali ya ukaguzi na utawala yamejadiliwa. Bodi ya Wadhamini ya Shirika la Hifadhi za Taifa Tanzania (TANAPA) inaendelea na kikao chake cha kawaida cha 210 jijini, Mwanza.


 

Comments

Popular posts from this blog

HIFADHI YA NGORONGORO YASHIRIKISHA WATALII UZINDUZI WA WIKI YA HUDUMA KWA WATEJA.

NMB Same Yachochea Ari ya Mafanikio kwa Wanafunzi, Yasema “Bidii, Nidhamu na Malengo” Ndio Siri ya Ushindi

ANNE KILANGO AZINDUA KAMPENI SAME MASHARIKI KWA KISHINDO