KAMISHNA WA SHIRIKA LA HIFADHI ZA TO TAIFA TANZANIA MUSA KUJI ATAMBULISHWA BUNGENI

Kamishna wa Uhifadhi Shirika la Hifadhi za Taifa Tanzania Musa Nassoro Kuji akiwa amesimama baada ya kutambulishwa na Mhe. Dkt. Tulia Ackson Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania leo Mei 19, 2025 katika Ukumbi wa Bunge jijini Dodoma alipohudhuria uwasilishwaji wa Bajeti ya Wizara ya Maliasili na Utalii kwa mwaka wa fedha 2025/2026.


Katika uwasilishwaji wa bajeti hiyo Kamishna Kuji ameongozana na Makamanda wa Kanda nne pamoja na Makamishna wengine Waandamizi wa Shirika la Hifadhi za Taifa Tanzania (TANAPA).




 

Comments

Popular posts from this blog

HIFADHI YA NGORONGORO YASHIRIKISHA WATALII UZINDUZI WA WIKI YA HUDUMA KWA WATEJA.

NMB Same Yachochea Ari ya Mafanikio kwa Wanafunzi, Yasema “Bidii, Nidhamu na Malengo” Ndio Siri ya Ushindi

ANNE KILANGO AZINDUA KAMPENI SAME MASHARIKI KWA KISHINDO