MCHENGERWA AKAGUA MRADI WA UJENZI YA OFISI YA MKUU WA MKOA SIMIYU


Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais-TAMISEMI Mhe. Mohamed Mchengerwa leo amewasili kwenye mradi wa ujenzi wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Simiyu  mradi ambao Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan anatarajia kuutembelea leo Juni 16, 2025.

Mradi huu ni miongoni mwa miradi ya ujenzi wa Ofisi 22 za Wakuu wa Mikoa yenye thamani ya zaidi ya bilioni 90.



 

Comments

Popular posts from this blog

HIFADHI YA NGORONGORO YASHIRIKISHA WATALII UZINDUZI WA WIKI YA HUDUMA KWA WATEJA.

NMB Same Yachochea Ari ya Mafanikio kwa Wanafunzi, Yasema “Bidii, Nidhamu na Malengo” Ndio Siri ya Ushindi

ANNE KILANGO AZINDUA KAMPENI SAME MASHARIKI KWA KISHINDO