MCHENGERWA AKAGUA MRADI WA UJENZI YA OFISI YA MKUU WA MKOA SIMIYU


Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais-TAMISEMI Mhe. Mohamed Mchengerwa leo amewasili kwenye mradi wa ujenzi wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Simiyu  mradi ambao Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan anatarajia kuutembelea leo Juni 16, 2025.

Mradi huu ni miongoni mwa miradi ya ujenzi wa Ofisi 22 za Wakuu wa Mikoa yenye thamani ya zaidi ya bilioni 90.



 

Comments

Popular posts from this blog

HATMA YA TAIFA IPO KATIKA USAWA WA KIJINSIA, SIO VIWANDA PEKEE.

MSAKO MKALI KUREJESHA HALI ya USALAMA TANGA, WATUHUMIWA 42 WAKAMATWA

PJT-MMMAM YAWEZESHA UANZISHWAJI WA VITUO 206 VYA MALEZI YA WATOTO WADOGO