WIKI YA UTUMISHI WA UMMA KITAIFA DODOMA


NA. OR - TAMISEMI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mheshimiwa  George Simbachawene (Mb)  leo tarehe 17 Juni, 2025 akisaini  kitabu cha wageni katika banda la Ofisi ya Rais -TAMISEMI katika Wiki ya Utumishi wa Umma Kitaifa inayofanyika Mkoani Dodoma.

Mhe.Simbachawene ameipongeza Ofisi ya Rais -TAMISEMI kwa kushiriki  maonesho hayo  amesema, Ofisi ya Rais Utumishi itaendelea kushirikiana na Ofisi ya Rais -TAMISEMI kwa ngazi zote ili kuendelea kutoa huduma bora kwa wananchi.

 Kauli mbiu ya maonesho hayo  "Himiza matumizi ya Mifumo ya Kidijiti ili kuongeza upatikanaji wa taarifa za kuchagiza uwajibikaji"




 

Comments

Popular posts from this blog

HIFADHI YA NGORONGORO YASHIRIKISHA WATALII UZINDUZI WA WIKI YA HUDUMA KWA WATEJA.

NMB Same Yachochea Ari ya Mafanikio kwa Wanafunzi, Yasema “Bidii, Nidhamu na Malengo” Ndio Siri ya Ushindi

ANNE KILANGO AZINDUA KAMPENI SAME MASHARIKI KWA KISHINDO