MAANDALIZI YA KUAGA MWILI WA HAYATI CLEOPA DAVID MSUYA YAENDELEA MWANGA

Maandalizi ya kuaga mwili wa Waziri Mkuu na Makamu wa kwanza wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Hayati Cleopa David Msuya, yakiendelea katika Uwanja wa Cleopa David Msuya, wilayani Mwanga, Mkoa Kilimanjaro, leo Mei 11, 2025.



 

Comments

Popular posts from this blog

HIFADHI YA NGORONGORO YASHIRIKISHA WATALII UZINDUZI WA WIKI YA HUDUMA KWA WATEJA.

NMB Same Yachochea Ari ya Mafanikio kwa Wanafunzi, Yasema “Bidii, Nidhamu na Malengo” Ndio Siri ya Ushindi

ANNE KILANGO AZINDUA KAMPENI SAME MASHARIKI KWA KISHINDO