MAANDALIZI YA KUAGA MWILI WA HAYATI CLEOPA DAVID MSUYA YAENDELEA MWANGA

Maandalizi ya kuaga mwili wa Waziri Mkuu na Makamu wa kwanza wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Hayati Cleopa David Msuya, yakiendelea katika Uwanja wa Cleopa David Msuya, wilayani Mwanga, Mkoa Kilimanjaro, leo Mei 11, 2025.



 

Comments

Popular posts from this blog

HATMA YA TAIFA IPO KATIKA USAWA WA KIJINSIA, SIO VIWANDA PEKEE.

MSAKO MKALI KUREJESHA HALI ya USALAMA TANGA, WATUHUMIWA 42 WAKAMATWA

PJT-MMMAM YAWEZESHA UANZISHWAJI WA VITUO 206 VYA MALEZI YA WATOTO WADOGO