NDEGE ILIYOBEBA MWILI WA HAYATI CLEOPA MSUYA IKIWASILI UWANJA WA (KIA)

Ndege iliyobeba mwili wa Waziri Mkuu na Makamu wa Kwanza wa Rais (Mstaafu), Hayati Cleopa David Msuya, ikiwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro (KIA) majira ya saa 2:22 leo Mei 12, 2025.

Picha Mbalimbali za vionngozi waliojitokeza kupokea mwili wa hayati Cleopa David Msuya Katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Kilimanjaro (KIA) Leo 


 

Comments

Popular posts from this blog

HIFADHI YA NGORONGORO YASHIRIKISHA WATALII UZINDUZI WA WIKI YA HUDUMA KWA WATEJA.

NMB Same Yachochea Ari ya Mafanikio kwa Wanafunzi, Yasema “Bidii, Nidhamu na Malengo” Ndio Siri ya Ushindi

ANNE KILANGO AZINDUA KAMPENI SAME MASHARIKI KWA KISHINDO