NDEGE ILIYOBEBA MWILI WA HAYATI CLEOPA MSUYA IKIWASILI UWANJA WA (KIA)

Ndege iliyobeba mwili wa Waziri Mkuu na Makamu wa Kwanza wa Rais (Mstaafu), Hayati Cleopa David Msuya, ikiwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro (KIA) majira ya saa 2:22 leo Mei 12, 2025.

Picha Mbalimbali za vionngozi waliojitokeza kupokea mwili wa hayati Cleopa David Msuya Katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Kilimanjaro (KIA) Leo 


 

Comments

Popular posts from this blog

HATMA YA TAIFA IPO KATIKA USAWA WA KIJINSIA, SIO VIWANDA PEKEE.

MSAKO MKALI KUREJESHA HALI ya USALAMA TANGA, WATUHUMIWA 42 WAKAMATWA

PJT-MMMAM YAWEZESHA UANZISHWAJI WA VITUO 206 VYA MALEZI YA WATOTO WADOGO