WADAU WAKIPATA ELIMU ZINAZO ZALISHWA NA OFISI YA TAIFA YA TAKWIMU


Wadau mbalimbali wakipata elimu kuhusu takwimu mbalimbali zinazozalishwa na Ofisi ya Taifa ya Takwimu kutoka kwa Ofisa wa NBS katika banda kwenye Maonesho ya Asasi za Kiraia  Viwanja vya Ukumbi wa Jakaya Kikwete jijini, Dodoma. Maonesho haya ni sehemu ya Mkutano wa Asasi za Kiraia wa  kutathmini mchango wa taasisi hizo kwenye maendeleo. NBS imeendelea kutumia fursa hizi kujitangaza na kusambaza machapisho na takwimu mbalimbali.




 

Comments

Popular posts from this blog

HIFADHI YA NGORONGORO YASHIRIKISHA WATALII UZINDUZI WA WIKI YA HUDUMA KWA WATEJA.

NMB Same Yachochea Ari ya Mafanikio kwa Wanafunzi, Yasema “Bidii, Nidhamu na Malengo” Ndio Siri ya Ushindi

ANNE KILANGO AZINDUA KAMPENI SAME MASHARIKI KWA KISHINDO