MWENDO WA SAMIA, UZI WA USHINDI


Zikiwa zimebaki siku 7 pekee kuelekea uzinduzi rasmi wa kampeni za Uchaguzi Mkuu 2025, wakina dada wamejitokeza kwa ubunifu kupitia photoshoot ya mshikamano kuonesha mapenzi na imani yao kwa Mgombea Urais wa CCM, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan.

Hizi ni zaidi ya picha, ni ujumbe wa matumaini na uthibitisho kuwa kizazi cha sasa kinaamini katika dira ya maendeleo na utu. Kwa pamoja wanasema, Mwendo wa Samia ni Mwendo wa Maendeleo.

#MwendoWaSamia #TunachaguaMaendeleo #OktobaNiSamia



 

Comments

Popular posts from this blog

HATMA YA TAIFA IPO KATIKA USAWA WA KIJINSIA, SIO VIWANDA PEKEE.

MSAKO MKALI KUREJESHA HALI ya USALAMA TANGA, WATUHUMIWA 42 WAKAMATWA

PJT-MMMAM YAWEZESHA UANZISHWAJI WA VITUO 206 VYA MALEZI YA WATOTO WADOGO