MAKAMU WA RAIS DKT PHILIP MPANGO AWASILI KIGOMA


Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akisalimiana na Viongozi mbalimbali wakati akiwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kigoma leo tarehe 26 Agosti 2025. Makamu wa Rais anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika Ufunguzi wa Tawi la Benki ya CRDB Wilaya ya Buhigwe utakaofanyika tarehe 27 Agosti 2025.



 

Comments

Popular posts from this blog

HIFADHI YA NGORONGORO YASHIRIKISHA WATALII UZINDUZI WA WIKI YA HUDUMA KWA WATEJA.

NMB Same Yachochea Ari ya Mafanikio kwa Wanafunzi, Yasema “Bidii, Nidhamu na Malengo” Ndio Siri ya Ushindi

ANNE KILANGO AZINDUA KAMPENI SAME MASHARIKI KWA KISHINDO