MAKAMU WA RAIS DKT PHILIP MPANGO AONGOZA MAPOKEZI YAYA RAIS DKT SAMIA KIGOMA



Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango ambaye pia ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa, ameongoza mapokezi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambaye ni Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Taifa na Mgombea nafasi ya Rais kupitia CCM Mhe. Dkt.Samia Suluhu Hassan katika Uwanja wa Ndege wa Kigoma jana tarehe 12 Septemba 2025.



Comments

Popular posts from this blog

HIFADHI YA NGORONGORO YASHIRIKISHA WATALII UZINDUZI WA WIKI YA HUDUMA KWA WATEJA.

NMB Same Yachochea Ari ya Mafanikio kwa Wanafunzi, Yasema “Bidii, Nidhamu na Malengo” Ndio Siri ya Ushindi

ANNE KILANGO AZINDUA KAMPENI SAME MASHARIKI KWA KISHINDO