TANZANIA NA QATAR KUENDELEZA USHIRIKIANO KUIMARISHA SEKTA YA ELIMU*


Balozi wa Qatar Nchini Tanzania Mheshimiwa Fahad Rashid Al-Marekhi, jana tarehe 7 Agosti 2025, amekutana na Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Profesa Adolf Mkenda katika Pfisi za Wizara Jijini Dar ES Salaam

Lengo kuu la ziara hiyo lilikuwa kujadili maeneo ya ushirikiano kati ya Tanzania na Qatar katika Sekta ya Elimu, Sayansi na Teknolojia.

Majadiliano hayo yamelenga maeneo ya kipaumbele katika utekelezaji wa Sera ya Elimu ikiwa ni pamoja na kuimarisha mafunzo katika sayansi Teknolojia, lugha za kigeni na mafunzo ya ufundi.




 

Comments

Popular posts from this blog

HIFADHI YA NGORONGORO YASHIRIKISHA WATALII UZINDUZI WA WIKI YA HUDUMA KWA WATEJA.

NMB Same Yachochea Ari ya Mafanikio kwa Wanafunzi, Yasema “Bidii, Nidhamu na Malengo” Ndio Siri ya Ushindi

ANNE KILANGO AZINDUA KAMPENI SAME MASHARIKI KWA KISHINDO