WAGENI MBALIMBALI WAENDELEE KUTEMBELEA BANDA LA NCAA


Wageni mbalimbali kutoka mikoa ya Kanda ya Kaskazini wameendelea kutembelea banda la NCAA katika Viwanja vya Themi Jijini Arusha kupata elimu ya vivutio vya utalii, taratibu za kuingia hifadhini pamoja na huduma mbalimbali zinazopatikana katika eneo la hifadhi ya Ngorongoro.



 

Comments

Popular posts from this blog

HIFADHI YA NGORONGORO YASHIRIKISHA WATALII UZINDUZI WA WIKI YA HUDUMA KWA WATEJA.

NMB Same Yachochea Ari ya Mafanikio kwa Wanafunzi, Yasema “Bidii, Nidhamu na Malengo” Ndio Siri ya Ushindi

ANNE KILANGO AZINDUA KAMPENI SAME MASHARIKI KWA KISHINDO