WAGENI MBALIMBALI WAENDELEE KUTEMBELEA BANDA LA NCAA


Wageni mbalimbali kutoka mikoa ya Kanda ya Kaskazini wameendelea kutembelea banda la NCAA katika Viwanja vya Themi Jijini Arusha kupata elimu ya vivutio vya utalii, taratibu za kuingia hifadhini pamoja na huduma mbalimbali zinazopatikana katika eneo la hifadhi ya Ngorongoro.



 

Comments

Popular posts from this blog

HATMA YA TAIFA IPO KATIKA USAWA WA KIJINSIA, SIO VIWANDA PEKEE.

MSAKO MKALI KUREJESHA HALI ya USALAMA TANGA, WATUHUMIWA 42 WAKAMATWA

PJT-MMMAM YAWEZESHA UANZISHWAJI WA VITUO 206 VYA MALEZI YA WATOTO WADOGO