KASOKO YA NGORONGORO (BUSTANI YA EDEN)*



Kasoko ya Ngorongoro ndilo shimo kubwa zaidi la volkano duniani ambalo halijavunjika (lipo kamili) likiwa na wanyamapori wa aina mbalimbali, Mara nyingi huitwa Bustani ya Edeni kwa kuwa eneo hilo lina mkusanyiko mkubwa  wa wanyamapori barani Afrika, ni kasoko yenye ufahari wa kipekee ambapo uhai hustawi kwa uwiano wa kipekee na wa asili.

Comments

Popular posts from this blog

HIFADHI YA NGORONGORO YASHIRIKISHA WATALII UZINDUZI WA WIKI YA HUDUMA KWA WATEJA.

NMB Same Yachochea Ari ya Mafanikio kwa Wanafunzi, Yasema “Bidii, Nidhamu na Malengo” Ndio Siri ya Ushindi

ANNE KILANGO AZINDUA KAMPENI SAME MASHARIKI KWA KISHINDO