KASOKO YA NGORONGORO (BUSTANI YA EDEN)*



Kasoko ya Ngorongoro ndilo shimo kubwa zaidi la volkano duniani ambalo halijavunjika (lipo kamili) likiwa na wanyamapori wa aina mbalimbali, Mara nyingi huitwa Bustani ya Edeni kwa kuwa eneo hilo lina mkusanyiko mkubwa  wa wanyamapori barani Afrika, ni kasoko yenye ufahari wa kipekee ambapo uhai hustawi kwa uwiano wa kipekee na wa asili.

Comments

Popular posts from this blog

HATMA YA TAIFA IPO KATIKA USAWA WA KIJINSIA, SIO VIWANDA PEKEE.

MSAKO MKALI KUREJESHA HALI ya USALAMA TANGA, WATUHUMIWA 42 WAKAMATWA

PJT-MMMAM YAWEZESHA UANZISHWAJI WA VITUO 206 VYA MALEZI YA WATOTO WADOGO