WAZIRI WA VIJANA JOEL NANAUKA AKIZUNGUMZA NA VIJANA UYOLE MBEYA
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais- Maendeleo ya Vijana Joel Nanauka akizungumza na kijana Mlemavu Ramadhan Karim ambaye alishiriki mkutano eneo la Uyole Wilaya ya Mbeya tarehe 26 Novemba 2025 ambapo Waziri hiyo alikwenda kuwasikiliza na kujadiliana na Vijana ikiwa ni utekelezaji wa maelekezo ya Rais Dkt.Samia Suluhu Hassan kufuatia kuundwa kwa Wizara maalum ya Vijana.

Comments
Post a Comment