KARIBU NGORONGORO BUSTANI YA EDEN.



Ndivyo anavyoonekana Kamishna wa Uhifadhi wa Mamlaka ya Hifadhi Ngorongoro Bwana Abdul-Razaq Badru (kushoto) kumweleza waziri wa Maliasili na Utalii Mhe. Dkt Ashatu Kijaji (Katikati) alipotembelea Banda la Mamlaka hiyo katika maadhimisho ya siku ya wanyama pori yaliyofanyika Viwanja vya nanenane Njiro Arusha.

Comments

Popular posts from this blog

HIFADHI YA NGORONGORO YASHIRIKISHA WATALII UZINDUZI WA WIKI YA HUDUMA KWA WATEJA.

NMB Same Yachochea Ari ya Mafanikio kwa Wanafunzi, Yasema “Bidii, Nidhamu na Malengo” Ndio Siri ya Ushindi

ANNE KILANGO AZINDUA KAMPENI SAME MASHARIKI KWA KISHINDO