MCHANGO WA WMA KUWEZESHA MAADHIMISHO SIKU YA WANAWAKE WATAMBULIWA*


Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dodoma imetoa cheti cha shukrani kwa Wakala wa Vipimo (WMA) ikitambua mchango wake katika kuwezesha maadhimisho ya Siku ya Wanawake Kimataifa ngazi ya Mkoa.

Mgeni Rasmi katika Maadhimisho hayo yaliyofanyika Kongwa, Machi 8, 2026,  Mkuu wa Mkoa, Mhe. Rosemary Senyamule amekabidhi cheti hicho chenye sahihi yake.

Mbali na kuchangia fedha kuwezesha maadhimisho hayo, pia WMA iliweka kambi kwenye viwanja vya maadhimisho na kutoa elimu ya vipimo kwa wananchi.



 

Comments

Popular posts from this blog

HATMA YA TAIFA IPO KATIKA USAWA WA KIJINSIA, SIO VIWANDA PEKEE.

MSAKO MKALI KUREJESHA HALI ya USALAMA TANGA, WATUHUMIWA 42 WAKAMATWA

PJT-MMMAM YAWEZESHA UANZISHWAJI WA VITUO 206 VYA MALEZI YA WATOTO WADOGO