DKT EVELINE MUNISI AKUTANA NA MKUU WA MKOA WA IRINGA KHERI JAMES




Naibu Waziri, Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Kazi, Ajira na Mahusiano, Mhe. Dkt. Eveline Munisi, akiwa na Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Mhe. Kheri James mara baada ya kuwasili leo Agosti 5, 2026. Dkt. Munisi amefika Iringa kufungua Mkutano Mkuu wa 7 wa Chama cha Wafanyakazi cha TUICO.


 

>

Comments

Popular posts from this blog

HIFADHI YA NGORONGORO YASHIRIKISHA WATALII UZINDUZI WA WIKI YA HUDUMA KWA WATEJA.

NMB Same Yachochea Ari ya Mafanikio kwa Wanafunzi, Yasema “Bidii, Nidhamu na Malengo” Ndio Siri ya Ushindi

ANNE KILANGO AZINDUA KAMPENI SAME MASHARIKI KWA KISHINDO