HUDUMA ZA NISHATI BORA NI NGUZO YA KILIMO CHA KISASA CHENYE TIJA



Huduma za Nishati Bora  ni nguzo muhimu za kilimo cha kisasa na chenye tija, maendeleo ya viwanda vijijini, ajira kwa vijana, na ustawi wa wananchi. REA itaendelea kuhakikisha umeme na nishati safi ya kupikia vinawafikia wananchi na hatimae kuchangia katika kufikia malengo ya Dira 2050

_Nawakaribisha wote kutembelea banda la REA tujifunze, tushirikiane na tujenge Tanzania yenye nishati ya uhakika na kilimo cha kisasa_

Mha. Hassan Saidy - Mkurugenzi Mkuu REA

Comments

Popular posts from this blog

HIFADHI YA NGORONGORO YASHIRIKISHA WATALII UZINDUZI WA WIKI YA HUDUMA KWA WATEJA.

NMB Same Yachochea Ari ya Mafanikio kwa Wanafunzi, Yasema “Bidii, Nidhamu na Malengo” Ndio Siri ya Ushindi

ANNE KILANGO AZINDUA KAMPENI SAME MASHARIKI KWA KISHINDO