WATAALAM KUTOKA WIZARA YA A NISHATI WAKIWA KATIKA MAONESHO YA (NANENANE)


Wataalam kutoka Wizara ya Nishati wakiwa katika Maonesho ya Wakulima (Nanenane) yanayoendelea katika Viwanja vya Dkt. John Samuel Malecela, Nzuguni, jijini Dodoma.

Mara uingiapo katika viwanja vya maonesho, tembelea Government Pavilion No. 2, ambapo Wizara ya Nishati pamoja na taasisi zake wanakukaribisha kupata elimu kuhusu umeme, mafuta, gesi asilia, nishati safi ya kupikia pamoja na kupata huduma nyingine mbalimbali za sekta ya nishati.

.

Comments

Popular posts from this blog

HIFADHI YA NGORONGORO YASHIRIKISHA WATALII UZINDUZI WA WIKI YA HUDUMA KWA WATEJA.

NMB Same Yachochea Ari ya Mafanikio kwa Wanafunzi, Yasema “Bidii, Nidhamu na Malengo” Ndio Siri ya Ushindi

ANNE KILANGO AZINDUA KAMPENI SAME MASHARIKI KWA KISHINDO