DKT. MWINYI APIGA KURA MJINI MAGHARIBI



Mgombea wa nafasi ya Urais wa Zanzibar kupitia tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Dkt. Hussein Ali Mwinyi akishiriki katika zoezi la upigaji wa kura katika Kituo cha kupigia Kura cha Kariakoo kilichopo Wilaya ya Mjini, Mkoa wa Mjini Magharibi leo Jumatano Oktoba 29, 2025.




Comments

Popular posts from this blog

HIFADHI YA NGORONGORO YASHIRIKISHA WATALII UZINDUZI WA WIKI YA HUDUMA KWA WATEJA.

NMB Same Yachochea Ari ya Mafanikio kwa Wanafunzi, Yasema “Bidii, Nidhamu na Malengo” Ndio Siri ya Ushindi

ANNE KILANGO AZINDUA KAMPENI SAME MASHARIKI KWA KISHINDO