WAZIRI BALOZI KOMBO AFANYA MAZUNGUMZO NA MABALOZI WA UMOJA WA ULAYA (EU)



Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo, amekutana na kufanya mazungumzo na Mabalozi wa Nchi Wanachama wa Umoja wa Ulaya (EU) waliopo nchini.

Mazungumzo hayo yamefanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es Salaam, na yalilenga kujadili fursa za kuimarisha diplomasia ya uchumi na kijamii baina ya Tanzania na Umoja wa Ulaya.




Comments

Popular posts from this blog

HATMA YA TAIFA IPO KATIKA USAWA WA KIJINSIA, SIO VIWANDA PEKEE.

MSAKO MKALI KUREJESHA HALI ya USALAMA TANGA, WATUHUMIWA 42 WAKAMATWA

PJT-MMMAM YAWEZESHA UANZISHWAJI WA VITUO 206 VYA MALEZI YA WATOTO WADOGO