WAZIRI BALOZI KOMBO AFANYA MAZUNGUMZO NA MABALOZI WA UMOJA WA ULAYA (EU)



Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo, amekutana na kufanya mazungumzo na Mabalozi wa Nchi Wanachama wa Umoja wa Ulaya (EU) waliopo nchini.

Mazungumzo hayo yamefanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es Salaam, na yalilenga kujadili fursa za kuimarisha diplomasia ya uchumi na kijamii baina ya Tanzania na Umoja wa Ulaya.




Comments

Popular posts from this blog

HIFADHI YA NGORONGORO YASHIRIKISHA WATALII UZINDUZI WA WIKI YA HUDUMA KWA WATEJA.

NMB Same Yachochea Ari ya Mafanikio kwa Wanafunzi, Yasema “Bidii, Nidhamu na Malengo” Ndio Siri ya Ushindi

ANNE KILANGO AZINDUA KAMPENI SAME MASHARIKI KWA KISHINDO