DKT PHILIP MPANGO ASHIRIKI IBADA YA KILELE CHA JUBILEI YA MIAKA 50 YA KUZALIWA KWA KANISA LA (KKKT) DAYOSISI YA PARE SAME MKOANI KILIMANJARO
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akishiriki Ibada Maalum ya Kilele cha Jubilei ya Miaka 50 ya Kuzaliwa kwa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Dayosisi ya Pare, Same mkoani Kilimanjaro leo tarehe 19 Oktoba 2025.







Comments
Post a Comment