WAZIRI KOMBO AFANYA MAZUNGUMZO NA MABALOZI WA NCHI ZISIZO WANACHAMA WA UMOJA WA ULAYA


Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo, amekutana na kuzungumza na mabalozi wa nchi zisizo wanachama wa  Umoja wa Ulaya (Non-EU Ambassadors) waliopo nchini, kwa lengo la kuimarisha uhusiano wa kidiplomasia na kujadili maeneo ya ushirikiano wa pamoja. 

Mazungumzo hayo yamefanyika katika ofisi ndogo za Wizara jijini Dar es Salaam na kuhudhuriwa na Mabalozi kutoka Norway, Switzerland, Uingereza na Canada.





 

Comments

Popular posts from this blog

HATMA YA TAIFA IPO KATIKA USAWA WA KIJINSIA, SIO VIWANDA PEKEE.

MSAKO MKALI KUREJESHA HALI ya USALAMA TANGA, WATUHUMIWA 42 WAKAMATWA

PJT-MMMAM YAWEZESHA UANZISHWAJI WA VITUO 206 VYA MALEZI YA WATOTO WADOGO