MAKAMU WA RAIS DKT MPANGO AMESHIRI KAMPENI YA MGOMBEA NAFASI YA RAIS KUPITIA CCM DKT SAMIA


Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango ambaye pia ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa na Mwenza wake Mama Mbonimpaye Mpango wameshiriki katika kampeni za Mgombea nafasi ya Rais kupitia Chama Cha Mapinduzi Mhe. Dkt.Samia Suluhu Hassan katika Wilaya ya Buhigwe mkoani Kigoma leo tarehe 13 Septemba 2025.






 

Comments

Popular posts from this blog

HIFADHI YA NGORONGORO YASHIRIKISHA WATALII UZINDUZI WA WIKI YA HUDUMA KWA WATEJA.

NMB Same Yachochea Ari ya Mafanikio kwa Wanafunzi, Yasema “Bidii, Nidhamu na Malengo” Ndio Siri ya Ushindi

ANNE KILANGO AZINDUA KAMPENI SAME MASHARIKI KWA KISHINDO